Ndani ya Studio - Kitaalamu Zaidi
Kila
wiki, ndani ya Temino, wataalamu wetu wanajibu maswali yeni
wakituongoza kwenye kuchambua mada tofauti zinazotugusa Watanzania
kwenye mchakato mzoma wa kutaka kutoka!
Agosti 27, 2011
Paul R. K . Mashauri
Mgeni wetu studio jumamosi hii: Paul R.K. Mashauri, the President of East Africa Speakers Bureau. An economist by training, Mashauri is well known in corporate circles as a creative and insightful thinker. Prior to the establishment of EASB, Mashauri served as the Executive Director and Founder of Familia Newspaper, a weekly inspirational newspaper. Mashauri holds a bachelor’s degree in Economics & Sociology from the University of Dar es Salaam.
Paul is joining us to enlight us on the topic: Interpersonal communication skills, don't miss!
Agosti 13, 2011
Aunt Sadaka Gandi
Mgeni wetu studio Jumamosi hii katikaTemino ya Clouds FM 3-5pm: Aunt Sadaka Gandi;mwanasaikolojia,msha uri
wa vijana na mwanaharakati wa shughuli za kijamii.Anajiunga nasi
situdio kutufunza juu ya Akili hisia/emotional intelligence,Je, wafahamu
kuwa akili hisia ni zaidi ya akili ubongo?inahusika vipi na inamanufaa
gani kwa maisha ya kila siku na mafanikio ya mtanzania?Jiunge nasi,
pamoja sana!
Agosti 6, 2011
Maximilian Muniko Rioba
Julai 23, 2011
Freddie Japhet Kyara
Mgeni wetu Jumamosi hii: Freddie Japheth Kyara- Mkufunzi na mshauri wa vijana na familia. Yeye ana ujuzi zaidi kwenye masualala ya mahusiano na jinsi ya kujenga tabia.Ukitaka kufahamu zaidi, jiunge nasi!
Julai 16, 2011
Edmond Lyatuu
Mgeni wetu Studio leo: Edmond Lyatuu- Mzalendo halisi wa kitanzania na pia ni Mkurugenzi wa MATABE- Making Tanzania Better. Edmond pia ana experience ya muda mrefu katika kushauri watu wa rika mbalimbali waliopatwa na matukio tofauti maishani, usikose!
Julai 9, 2011
Foster Mbuna Mkapa
Mgeni wetu studio jumamosi hii: Foster Mbuna Mkapa- a specialists in Psychology, Health Care Ethics and Law .
Her passion is to improve the quality of life of women and the youth. It is this passion that drove her to join hands with other determined women to establish Tanzania Breast Cancer Foundation, a non governmental organization that offers emotional, financial and material support to breast cancer survivors, suffers and their families.With her Psychological background, Foster offers counseling services especially to the newly diagnosed cancer patients.
Foster has given various educational speeches about breast cancer and cervical cancer to different organizations and secondary schools in Tanzania.
Julai 2, 2011
Chris Mauki
Mgeni wetu studio wiki hii: Chriss Mauki- yeye ni mshauri wa kisaikolojia na kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi mbalimbali vya Radio na TV.Makala zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti.
Wiki hii tunajiunga na Chris kuongelea suala la Kiwewe/ majeraha ya maisha- kwa lugha ya kigeni Trauma. Je, Inatupasa tufanye nini pale ambapo tunafikwa na majanga mbalimbali katika maisha ambayo yamejaa maumivu mengi na kutufanya kupata msongo wa mawazo ambapo mara nyingine huweza hata kuleta adhari kwenye miili yetu?
Juni 25, 2011
Jiduma Luhende
Mgeni wetu studio Jumamosi hii:Jiduma Luhende - A Tax Manager -has over 4 years experience in tax compliance and consulting with Deloitte, in a variety of industries including the energy and resources industry, the mining industry, the agricultural industry and the logistics industry. He has a Bachelor of Commerce degree specializing in Accounting from the University of Dar es salaam. Jiduma is also a registered member of the National Board of Accountants and Auditors of Tanzania.
Jiduma has a comprehensive knowledge of corporate income tax, personal income tax, capital gains tax and withholding taxes including managing assignments for various tax risk & opportunity reviews and VAT refund audits.
Jiduma has hands-on experience in guiding consultants to compile and draft opinions, conduct Risk & Opportunity Reviews and execute VAT refund audit assignments.
Juni 18, 2011
Astronaut Bagile
Mgeni wetu studio;Astronaut Bagile - Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Women in Social Entrepreneurship (WISE). Yeye pia ni mjasiriamali jamii na mwanaharakati wa siku nyingi katika masuala ya kuhamasisha na kuelimisha vijana katika masuala mbalimbali ya kuijenga nchi yetu-Tanzania. Shughuli zake zinaendana kabisa na mtazamo na imani yake kwamba vijana wakipewa fursa za kujiajiri na wakazitumia kwa kuwa wajasiriamali wataondokana na hali tete ya umaskini inayowapelekea kujiingiza katika tabia hatarishi.
Juni 4, 2011
Benno J. Chelele
Mgeni wetu studio leo ni : Benno J. Chelele, Mfanya biashara ambaye na mmiliki wa BM Executive Barbershop & Beauty Centre. Ambaye kwanza alianza kwa kuwa na ndoto ya kufungua duka la dawa baridi (medical store) akiwa na 5,000/= tu! huko Chita wilaya ya kilombero, na leo hii ni mkurugenzi mtendaji wa salon kubwa sana hapa mjini itoayo huduma kwa watu wa rika na hadhi zote; hata viongozi wa ngazi za juu nchini hupata huduma zao BM SALON iliyopo kinondoni.
BM ni saloon ya kwanza kubwa ya kiume Dar es salaam ambayo ina vitengo vitatu; VIP, DELUXE na KIDS. Saloon yake inatoa huduma nyingi kama Facial, Massage, Pedicure & Manicure Hair Dressing Services kwa wanaume, pia wanatoa huduma kwa maharusi wa kiume kwa utaalamu wa hali ya juu. Kwa sasa ana mpango wa kufungua matawi mengi zaidi Dar , mikoani na hata nje ya nchi.Kwa habari zaidi waweza kumpata kupitia www.bmtz.co.tz ; Alianza vipi na anawezaje kufanya yote haya,jiunge nasi katika Temino ya Clouds FM,Usikose!
Mei 28, 2011
Mh. Samweli Sitta
Pia tutavuta waya na kuzungumza na Waziri wa Afrika Mashariki, Mh.Samweli Sitta,Je, ana yapi ya kusema kuhusu;Mafanikio yaliyopatikana ndani ya ushirika wa Afrika Mashariki mpaka sasa na yanamnufaisha vipi Mtanzania;mikakati ya Wizara kuhakikisha wananchi wote wanapata elimu ya kutosha juu ya Jumuiya hii ili waweze shiriki kikamilifu na Je, Kijana wa kitanzania amehusishwa/atahusishwa vipi katika shughuli mbalimbali za Jumuiya zinazoendelea mpaka sasa?Usikose!
May 21, 2011
Mark Okello
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni Mark Okello, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilokuwa la kiserikali la Youth Initiatives Tanzania (YITA),yeye pia ni kijana anayetajitambua na kuwajibika katika nafasi yake kikamilifu kuleta maendeleo endelevu katika jamii! Mark anajivunia sana kuwa Mwafrika!
May 21, 2011
Hajra Mungula
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni Hajra Mungula, Mwanaharakati wa vijana kutoka Tanzania Youth Coalition (TYC) na East Africa Youth Network, yeye ana dhamira ya kuwaongoza vijana wa Tanzania kuweza kuona fursa za wao kushiriki katika maamuzi ya kujenga na kuendeleza nchi yetu; pia kitaaluma ni mwanasheria kutoka kampuni ya Membar Law Attorneys.
May 21, 2011
Godfrey Oyyekeredo
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni-Godfrey Oyyekoredo ,a Self motivated individual with a vision to serve youth and general community to agitate for their rights. He is a trainer, script writer, and facilitator, animator for community based theater groups and youth networks in Kenya. He believes that change is possible and that the best investment in life is investing in the people through entrepreneurship.
May 14, 2011
Janeth Mbene
Mgeni wetu studio Jumamosi hii- Janeth Mbene:
Mimi ni mwanamke wa Kitanzania aliye bahatika kupata fursa ya kusomeshwa kwa kiwango cha juu na Taifa kwa kupitia sera zake nzuri zinazotoa fursa ya elimu kwa watu wote bila ubaguzi.
Katika nafasi hiyo nimeweza kusomea shahada ya uzamili ya uchumi (Master’s degree in Economics) katika Biashara ya kimataifa, mikataba ya kimataifa ya Biashara, muungano wa kanda wa kiuchumi na Maswala ya Kifedha. Tafiti yangu ya shahada hii ilikuwa katika eneo la Umoja wa nchi za Afrika Mashariki kutathmini uwiano wa biashara kati ya Kenya Uganda na Tanzania kwa kutumia modeli ya kimahesabu.
Baada ya masomo yangu nimefanya kazi katika taasisi za kimataifa na umoja wa mataifa na NGOs za kimataifa zinazofanya shughuli zake Tanzania nzima haswa Vijijini na katika makundi ya wanawake na vijana. Shughuli nyingi zimehusu sera za kitaifa za kuondoa umaskini nakuboresha uendeshaji uchumi pamoja na kutetea haki za jamii za wakulima, wafugaji, wachimba madini wadogo, wavuvi na wafanyi biashara wadogo vijijini, mijini, mipakani kwa kuzingatia wanawake, vijana na walemavu.
Kazi yangu kubwa imekuwa kutoa mafunzo, kufanya utetezi wa sheria na sera pamoja na kuwawezesha kiuchumi katika miradi midogo, mikopo midogo na kuongeza thamani katika bidhaa. Maswala ya ufatiliaji na tathmini ya malengo ya milenia na kushinikiza serikali kuongeza bajeti kwenye maswala ya afya ya mtoto na mama, ajira, kupata ardhi, elimu kwa wasichana, mikopo na kusaidia wanawake wenye kuhudumia familia zilizoathirika na ukimwi nk.
Nimewahi Kufanya kazi kwenye mataifa ya kimataifa, Umoja wa Mataifa na kadhalika. Kutokana na haya yote, naona ni nafasi nzuri sana kwangu kutumia uwezo na uzoefu huu kwa manufaa ya wanawake wenzangu na taifa katika Bunge nikitetea maswala ya jamii haswa ya wanawake na vijana na kusimamia sheria na mikakati ya kuwainua wanawake na kuwapa fursa sawa katika kuwaletea maendeleo.
USHIRIKI WA NAFASI ZA UTAWALA TAASISI MBALIMBALI
Mwenyekiti wa NGO ya GOIG ‘Kuzeeka ni Kukua’ Wastaafu walianzisha NGO kusaidia vijana kupata mafunzo ya kutengeneza Vikoi, Mabusati na bidhaa za useketaji nk. Kwa kipato na kujikimu kimaisha.
Mlezi wa Yatima Group Trust NGO yenye kusimamia kituo cha watoto Yatima Chamazi Temeke.
Amekuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa Bodi wa Benki ya Kenya Tanzania kwa miaka sita hadi mwaka jana.
Mwanzilishi na Mjumbe wa NGO ya Wanataaluma wa Tanzania (TPN)
Mjumbe wa NGO ya Kimataifa SYNERGOS yenye makao yake New York Marekani inayoshughulika na maswala ya kimaendeleo, umaskini na haki za watu maskini duniani.
Makamu wa rais na Raisi mwandamizi wa Taasisi ya kimataifa ya maendeleo (Society for International Development (SID) tawi la Tanzania.
May 14, 2011
Robert Mng'anya
Mgeni wetu Studio Jumamosi hii: Robert Mng'anya.
My greatest purpose in life is to teachleadership skills to my generation. My ambition comes from the bible-Luke 12:48 to paraphrase those who much has been given much is demanded.
I am an avid reader and library boost the work of greatest
thinkers from Jim Rohn, John Maxwell, Anthony Robbins, Steve Covey,
Dale Carnegie , Nelson Mandela among others.I hold it to be true that people perish for lack of knowledge.
April 16, 2011
Macarious Shailla
Mgeni wetu studioni leo ni Macarious J. Shailla:He is a Motivational speaker in various seminars and conferences, but also he is a trainer, a mentor, and an enterpreneur .He is working under Maa p 4 Life- Tanzania, an Organisation working to empower people in planning and managing their plans in three major areas;- Family, Bussiness and on Intellectual level.
Macarious is also a founder of Tanzania Big Talk , an initiative that take a form of motivational conferences and held monthly to discuss and share ideas on major problems in our nation, this initiative is organised and conducted in different venues and concerns various topics. Macarious believes in personal development and uses most of his time and knowledge to help others.
April 9, 2011
Irene Kiwia
Katika Temino ya Clouds Fm wiki hii: Jiunge na Abella na Harris Studio jumamosi hii, tukiongelea mada ya Hofu: Kwanini watu huwa na hofu na je ni jinsi gani tunaweza kuishinda hofu katika maisha yetu:mgeni wetu wiki hii ni Irene Kiwia, mwanadada ambaye amefanya mengi ambayo ni makubwa na tofauti kabisa hapa nchini, je amewezaje kufanya yote hayo bila Hofu kabisa?Usikose kujiunga nasi studio!
Irene is a founder of Frontline Management Ltd a PR com-pany that deals with Public Relations, Event Management and Corporate Communication. The company was founded in 2006 and is now partners with the global PR leader Porter Novelli with presence over 85 countries.She has had a 7 years experience working with the Media, presented and produced her own talk show on East Africa Television for over 5 years, worked as a radio host and producer for 2 years and as a PR consultant for two of the biggest agencies in the country (Tanzania Corporate Services and Benchmark Productions) before establishing her own firm.
Just recently, Irene and her company launched another project titled Tanzania Women of Achievement Awards with ob-jectives to empower the many Tanzanian women who have been making significant changes in their communities through their work. In 2010 Irene was nominated by the US State department to participate in the Fortune/US State Department Global Women Mentoring Program where she was mentored by women from Fortune 500 companies which are America's big-gest companies.She recently received a coin of Excellency from the US Ambassador to Tanzania Alfonso Lenhardt in recognition of her achievements.
Irene who is also a mother of 2 children, has received numerous recognition in the local and East African media as an in-spiration and role model to young women in Tanzania and East Africa and Africa in general.
Machi 26, 2011
Dk. Charles Sije Sokile
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella; tukizungumzia masuala ya Jinsi gani ya kuchagua Fani/ Taaluma utakayoifurahia na yenye kuleta mafanikio kwako- yaani ‘choosing a successful and enjoyable Career path’ .Tutakuwa na Mtaalamu wetu Dr. Charles Sije Sokile; yeye ni mkurugenzi wa kampuni ya Knowledge Initiatives Company Limited (KICL).
Dr.Sokile ana shahada ya udaktari katika Management. Pia amefanya kazi mbalimbali na Serikali, mashirika tofauti ya Kikanda na Kimataifa pia-United Nations- UN. Yeye ana umahiri katika maeneo ya mipango ya kimkakati, rasilimali, kupunguza umaskini, masuala ya sera na usimamizi ya utafiti na mafunzo ya huduma.
Dr.Sokile ameongoza miradi mbalimbali katika vyuo vikuu tofauti, UNESCO, Chuo Kikuu cha EAC Inter Baraza, World Vision n.k.; pia ametoa machapisho tofauti katika maeneo ya usimamizi wa utafiti na Usimamiaji wa rasilimali. Dr.Sokile pia ni sura katika vitabu vya kitaaluma- na sisi wanatemino tunajivunia kitabu chake cha ‘Successful Career Development’.
Machi 18, 2011
Marwa Stephen Shirati
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella;pamoja na wataalamu wetu tukitoa- Mwongozo wa kuchagua Fani/ Taaluma utakayoifurahia na yenye kuleta mafanikio kwako- yaani ‘A guidance for choosing a successful&enjoyable Career path’ .
Tutakuwa na Mtaalamu wetu Marwa Stephen Shirati- Mkufunzi na mtaalamu wa masuala ya taaluma.Yeye ni mtanzania ambaye amejitolea muda wake mwingi kufanya kazi na vijana wa Kitanzania na kuwasaidia katika kujitengenezea uthamani katika maisha yao na kuwafanya kuwa wazalishaji na wenye kuleta mabadiliko chanya kwa jamii.
Yeye anatambua fika kwamba suala zima la kujitolea kwa ajili ya maendeleo ya jamii yake sio jambo rahisi, lakini amedhamiria kutumia uwezo wake wote - kuwapatia wengi mwangaza wa kuweza kujijenga na kijitegemea na kufanyika faida kwa jamii yao.Shirati ni mjasiriamali kwa miaka 12 sasa na hutoa elimu kwenye miradi mbalimbali kuanzia mashuleni, mavyuoni na maofisini; na pia ni mtoa ushauri katika masuala ya kijamii na ujasiriamali .
Ukitaka kujua mengi juu ya Mwongozo wa kuchagua na kuboresha taaluma yako, usikose kujiunga nasi, pamoja sana!
Machi 11,2011
Edmond Lyatuu
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella; tukiwa na Mtaalamu wetu Edmond Lyatuu- mwanzilishi na Mkurugenzi wa Kampuni ya MATABE- Making Tanzania Better.
Jumamosi hii tunaangalia suala zima la Kijitambua.Je, umewahi kujiuliza maswali haya: Wewe ni nani?Nini kitambulisho chako? Nini hukupatia motisha kwenye maisha kufanya yale unayoyafanya kila siku?Je, unaifahamu haiba/ personality yako na inakusaidia vipi kwenye shughuli zako za kila siku?Unadhani watu wanakuona wewe ni mtu wa namna gani na una mchango/msaada gani kwao?
Kuweza kujua haya na mengine mengi katika safari yetu nzima ya kuelekea kwenye kufahamu jinsi gani ya kukuza na kuendeleza taaluma/fani yako- Career Choice, jiunge nasi.Temino-Mpango mzima!
Machi 26, 2011
Lucylight Mallya
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm:Pia tutakuwa na Nyota yetu Lucylight Mallya; Mwanafunzi bora katika matokeo ya kidato cha nne kitaifa.Aliwezaje kufaulu vizuri hivyo,Je, ana ndoto gani katika maisha,na je ana kipaji kingine chochote? Lucylight pia ana mengi ya kuwashauri Wazazi, walezi,walimu na Vijana wenzake. Sisi wana Temino tunajivunia sana Lucylight Mallya, Yeye ni Fahari ya Tanzania. Usikose!
Machi 5 & 12, 2011
Edmond na Dorothy Lyatuu
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii :Wageni wetu ni Edmond na Dorothy Lyatuu. Wao wamekuwa marafki wakubwa kwa takribani miaka 27, na katika hayo wamekuwa wanandoa kwa miaka 23. Uhusuaino wao umewazawadia watoto watatu ambao, kwa maneno yao wenyewe wanasema kuwa, ‘wanakamilisha familia yetu’.
Hadithi yao kama wazazi ni hadithi ya kujifunza wakati wote, mara nyingi wamekuwa wakiacha yale yasiyo na tija na kushikilia yale wanayoona yana faida kwa familia yao. Lakini pia wanakiri wazi kuwa, kuna maeneo ambayo wameshindwa vibaya sana na wamejifunza mengi kutokana na hayo, lakini kwa sehemu kubwa wanakiri kupata mafanikio makubwa katika malezi na makuzi ya watoto wao, kwani kwao kila mtoto amekuja na changamoto yake, na kila mtoto anakuwa kwa namna ya tofauti na mwingine.
Kwa ujumla, uzazi na malezi ya watoto wao umewasaidia sana wao binafsi katika kukua kimaisha, kupanuka kifkira na kuzidi kupata hekima zaidi siku hadi siku. Wanawezaje kufanya yote haya, ni mbinu gani wanatumia, usikose kujiunga nasi jumamosi hii.
Februari 26, 2011
Wilbroad Propsper
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Willbroad Prosper, mkuu wa shule (principal) ya capstone christian school,yeye hufanya huduma za kijamii akishirikiana na mchahakato unaofahamika kama Family Outreach Tanzania (FOTA). Pia hufundisha semina za malezi (parenting seminars), semina za vijana, semina za ndoa na premarital counselling kwa vijana ambao wako tayari kuoana.
Willbroad pia amekuwa akishirishwa katika vipindi mbalimbali vya redio na TV kupeleka ujumbe wake. Yeye pia ni mkurugenzi wa Tanzania Christian Talents- (TCT).Jiunge nasi pamoja na mgeni wetu akitueleza jinsi ya kuwalea mashujaa wa kitanzania.Usikose!
Februari 19, 2011
Jane Mutua
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Jane Mutua, yeye ni mke anayejivunia familia yake na pia ni mama wa watoto wawili .Yeye hutoa huduma ya ushauri kwa familia.
Jane anaamini kama wazazi tukiamua kuwalea na kuwakuza watoto wetu katika msingi imara , taifa letu la kesho litakuwa ni Taifa lililosheheni wananchi na viongozi wenye kanuni na tabia zinazokubalika na pia mwongozo wa nchi utabadilika kabisa, kutoka katika hali ya kutokuona mwelekeo kuwa Taifa lenye dira thabiti itakayosababisha kukua na kubadilika kwa nchi yetu zaidi.Usikose!
Februari 12, 2011
Chris Mauki
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Chris Mauki, yeye ni Mhadhiri wa idara ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi mbalimbali vya Radio na TV.Makala zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti ya Global Publishers siku ya Jumanne. Chris pia ni Mtafsiri wa Lugha.
Wiki hii tunajiunga na Chris kuongelea suala zima la malezi na Makuzi ya Mtoto/Shujaa wa kitanzania. Msingi wake uko vipi? Je, anapewa fursa ya kukua ili aweze kujiamini na kujitambua yeye ndio mmiliki halisi wa nchi hii na mleta mabadiliko mtarajiwa.Na je kama kuna sehemu wazazi walikosea wafanye nini basi kurekebisha mahusiano baina yao na mtoto wao ili tuweze kuwa na familia zenye mshikamano zaidi? USIKOSE jumamosi hii tunapoanza safari ya Malezi na Makuzi ya mtoto wa Kitanzania.Pamoja sana wakuu.
Februari 5, 2011
Gina Mulungu
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Gina Mulungu, yeye ni Mwalimu na mlezi wa watoto, ana utaalamu wa zaidi ya miaka mitano(5) katika kazi yake ya kila siku katika kuwashauri wazazi jinsi ya kuwaelekeza na kuwakuza watoto. Pia hufanya ushauri na ufuatiliaji wa karibu kwa watoto ambao huhitaji msaada wa zaidi katika masomo na hata tabia.Usikose jumamosi hii upate sikia kutoka kwake jinsi ya kuelewa hatua mbalimbali za malezi na makuzi ya watoto. Temino-tujipange kwa safari!
Januari 29, 2011
Martin Kaswahili
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Martin Kaswahili, yeye ni mwanasiasa,mjasiriamali, mwandishi wa vitabu na Mzalendo halisi aliyeishi Ughaibuni kwa muda mrefu na baada ya kugundua siri na raslimali zilizopo Tanzania akarudi nyumbani kulitumikia Taifa.Yeye anatueleza namna ya kujivunia utaifa wetu haswa katika kipindi hiki cha maandalizi ya kusherekea Miaka 50 ya Uhuru wetu.Pamoja sana!
Januari 22, 2011
James Mwang'amba
Mgeni wetu Studio Jumamosi hii 3-5pm Temino Radio Show- Clouds FM 88.4 FM: James Mwang’amba, Mkurugenzi wa MWANG'AMBA COMMUNICATION ambaye amekua akitoa ushauri na mafunzo kwa wajasiriamali wadogo na wafanyabiashara wakubwa. Mbali na hapo ni mkufunzi wa mafunzo ya kujiendeleza kibinafisi- ‘Personal Development’ na Pia amekua akitoa mada katika vipindi mbali mbali vya Radio.
Kama kuna jambo analofahamika nalo sana ni utaalamu wake katika masuala ya Kufanya Malengo- ‘Goal Setting’ na wiki hii basi studioni tunamleta kwenu kama zawadi kutoka kwetu ya Mwaka mpya 2011 , akituelekeza tunajipangaje tunavyoanza mwaka, je tunatoboza vipi? Usikose!
Januari 15, 2011
Joe Bishota
Our guest this Saturday at Temino Radio Show 3-5pm, 88.4 Clouds FM: Trained as a Banker, Joe, as he is popularly known has established a career in Financial Securities Consultant. For quite sometimes now, Joe Bishota, has become one of the most demanded Financial Consultant and Speaker. He has been consulting people and organizations on matters related to financial planning and management. As we start, year 2011, Temino Radio Show brings Joe as a gift to you: He will share with us some proven methods and practical tools on "Creating and Managing a Personal Budget".
Januari 8, 2011
Emelda Mwamanga Mtunga
Temino Jumamosi hii inazungumza na Emelda Mwamanga Mtunga, mwanzilishi na Mkurugenzi mtendaji wa RELIM Entertainment Ltd, kampuni inayochapisha gazeti la kimtindo la Bang! pia Bang Star! . Emelda anaendelea kuonyesha njia kwetu sote kwa juhudi zake na kutupatia motisha ya kutosha ili na sisi tuweze kuamini ndoto zetu pi...a zinaweza kuwa halisi kama tukifanya juhudi. Alianza vipi, anafanya nini sasa na mpango gani, usikose kusikiliza yote haya katika Temino ya Clouds FM 88.4
Januari 1, 2011
Peter Msechu
Temino Jumamosi hii inazungumza na Mshindi wa pili wa TUSKER PROJECT FAME 2010, Peter Msechu. Baada ya kushika nafasi ya pili katika shindano hili la vipaji vya kuimba lililofanyika Jijini Nairobi, Kenya. Ana lipi la kutuambia watanzania?Ndoto yake iianza vipi na tunajifunza nini kutoka kwake? Na je, ana malengo yapi na mikakati gani kuzidi kupeperusha bendera ya nchi yetu kimataifa. Pia sikiliza Album mpya ya Peter iitwayo ‘Majaribu’ ndani ya Temino. Pamoja sana!
Desemba 24, 2010
Bupe Christopher
Temino this Saturday speaks to Bupe Christoper, An artist from Kenya who is a testimony of what can be achieved if one believes and holds on to their dream. He has no doubt that God has only just started using him to mightily influence this generation through Music and Media with the message that he calls ‘cleaning up the airwaves’. When you meet Bupe, a man who passionately believes in his significance in God's plan you might think all has ever been great to him - Yet it was not always so. Witnessing his family break apart early in life, and his dreams go up in smoke was enough to keep Bupe far from the idea that God cared. A wounded self esteem and search for attention marked most of his early life. But at the age of sixteen, things turned around as he realized a greater power within Him.

Chris Mauki,
yeye ni Mhadhiri wa idara ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam. Kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia
(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi
mbalimbali vya Radio na TV.Makala
zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti ya Global
Publishers siku ya Jumanne. Chris pia ni Mtafsiri wa Lugha.
Jane Mutua, yeye ni mke anayejivunia familia yake na pia ni mama wa watoto wawili. Yeye hutoa huduma ya ushauri kwa familia.
Willbroad Prosper, Mkuu wa Shule (Principal) ya Capstone Christian School. Yeye
hufanya huduma za kijamii akishirikiana na mchahakato unaofahamika kama
Family Outreach Tanzania (FOTA). Pia hufundisha semina za malezi
(parenting seminars), semina za vijana, semina za ndoa na premarital counselling kwa vijana ambao wako tayari kuoana.
Agosti 27, 2011
Paul R. K . Mashauri
Mgeni wetu studio jumamosi hii: Paul R.K. Mashauri, the President of East Africa Speakers Bureau. An economist by training, Mashauri is well known in corporate circles as a creative and insightful thinker. Prior to the establishment of EASB, Mashauri served as the Executive Director and Founder of Familia Newspaper, a weekly inspirational newspaper. Mashauri holds a bachelor’s degree in Economics & Sociology from the University of Dar es Salaam.
Paul is joining us to enlight us on the topic: Interpersonal communication skills, don't miss!
Agosti 13, 2011
Aunt Sadaka Gandi
Mgeni wetu studio Jumamosi hii katikaTemino ya Clouds FM 3-5pm: Aunt Sadaka Gandi;mwanasaikolojia,msha
Agosti 6, 2011
Maximilian Muniko Rioba
Mgeni
wetu studio jumamosi hii: Maximilian Muniko Rioba. President and founder
of Youth Mission International; also CEO of Authentic Studios and
Director of REEL magazine.
Je, ana lipi la kutueleza juu ya umuhimu wa Vijana kuwa na mwenendo unaokubalika ili kuweza kupata mafanikio maishani, usikose!
Je, ana lipi la kutueleza juu ya umuhimu wa Vijana kuwa na mwenendo unaokubalika ili kuweza kupata mafanikio maishani, usikose!
Julai 23, 2011
Freddie Japhet Kyara
Mgeni wetu Jumamosi hii: Freddie Japheth Kyara- Mkufunzi na mshauri wa vijana na familia. Yeye ana ujuzi zaidi kwenye masualala ya mahusiano na jinsi ya kujenga tabia.Ukitaka kufahamu zaidi, jiunge nasi!
Julai 16, 2011
Edmond Lyatuu
Mgeni wetu Studio leo: Edmond Lyatuu- Mzalendo halisi wa kitanzania na pia ni Mkurugenzi wa MATABE- Making Tanzania Better. Edmond pia ana experience ya muda mrefu katika kushauri watu wa rika mbalimbali waliopatwa na matukio tofauti maishani, usikose!
Julai 9, 2011
Foster Mbuna Mkapa
Mgeni wetu studio jumamosi hii: Foster Mbuna Mkapa- a specialists in Psychology, Health Care Ethics and Law .
Her passion is to improve the quality of life of women and the youth. It is this passion that drove her to join hands with other determined women to establish Tanzania Breast Cancer Foundation, a non governmental organization that offers emotional, financial and material support to breast cancer survivors, suffers and their families.With her Psychological background, Foster offers counseling services especially to the newly diagnosed cancer patients.
Foster has given various educational speeches about breast cancer and cervical cancer to different organizations and secondary schools in Tanzania.
Julai 2, 2011
Chris Mauki
Mgeni wetu studio wiki hii: Chriss Mauki- yeye ni mshauri wa kisaikolojia na kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi mbalimbali vya Radio na TV.Makala zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti.
Wiki hii tunajiunga na Chris kuongelea suala la Kiwewe/ majeraha ya maisha- kwa lugha ya kigeni Trauma. Je, Inatupasa tufanye nini pale ambapo tunafikwa na majanga mbalimbali katika maisha ambayo yamejaa maumivu mengi na kutufanya kupata msongo wa mawazo ambapo mara nyingine huweza hata kuleta adhari kwenye miili yetu?
Juni 25, 2011
Jiduma Luhende
Mgeni wetu studio Jumamosi hii:Jiduma Luhende - A Tax Manager -has over 4 years experience in tax compliance and consulting with Deloitte, in a variety of industries including the energy and resources industry, the mining industry, the agricultural industry and the logistics industry. He has a Bachelor of Commerce degree specializing in Accounting from the University of Dar es salaam. Jiduma is also a registered member of the National Board of Accountants and Auditors of Tanzania.
Jiduma has a comprehensive knowledge of corporate income tax, personal income tax, capital gains tax and withholding taxes including managing assignments for various tax risk & opportunity reviews and VAT refund audits.
Jiduma has hands-on experience in guiding consultants to compile and draft opinions, conduct Risk & Opportunity Reviews and execute VAT refund audit assignments.
Juni 18, 2011
Astronaut Bagile
Mgeni wetu studio;Astronaut Bagile - Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Women in Social Entrepreneurship (WISE). Yeye pia ni mjasiriamali jamii na mwanaharakati wa siku nyingi katika masuala ya kuhamasisha na kuelimisha vijana katika masuala mbalimbali ya kuijenga nchi yetu-Tanzania. Shughuli zake zinaendana kabisa na mtazamo na imani yake kwamba vijana wakipewa fursa za kujiajiri na wakazitumia kwa kuwa wajasiriamali wataondokana na hali tete ya umaskini inayowapelekea kujiingiza katika tabia hatarishi.
Juni 4, 2011
Benno J. Chelele
Mgeni wetu studio leo ni : Benno J. Chelele, Mfanya biashara ambaye na mmiliki wa BM Executive Barbershop & Beauty Centre. Ambaye kwanza alianza kwa kuwa na ndoto ya kufungua duka la dawa baridi (medical store) akiwa na 5,000/= tu! huko Chita wilaya ya kilombero, na leo hii ni mkurugenzi mtendaji wa salon kubwa sana hapa mjini itoayo huduma kwa watu wa rika na hadhi zote; hata viongozi wa ngazi za juu nchini hupata huduma zao BM SALON iliyopo kinondoni.
BM ni saloon ya kwanza kubwa ya kiume Dar es salaam ambayo ina vitengo vitatu; VIP, DELUXE na KIDS. Saloon yake inatoa huduma nyingi kama Facial, Massage, Pedicure & Manicure Hair Dressing Services kwa wanaume, pia wanatoa huduma kwa maharusi wa kiume kwa utaalamu wa hali ya juu. Kwa sasa ana mpango wa kufungua matawi mengi zaidi Dar , mikoani na hata nje ya nchi.Kwa habari zaidi waweza kumpata kupitia www.bmtz.co.tz ; Alianza vipi na anawezaje kufanya yote haya,jiunge nasi katika Temino ya Clouds FM,Usikose!
Mei 28, 2011
Mh. Samweli Sitta
Pia tutavuta waya na kuzungumza na Waziri wa Afrika Mashariki, Mh.Samweli Sitta,Je, ana yapi ya kusema kuhusu;Mafanikio yaliyopatikana ndani ya ushirika wa Afrika Mashariki mpaka sasa na yanamnufaisha vipi Mtanzania;mikakati ya Wizara kuhakikisha wananchi wote wanapata elimu ya kutosha juu ya Jumuiya hii ili waweze shiriki kikamilifu na Je, Kijana wa kitanzania amehusishwa/atahusishwa vipi katika shughuli mbalimbali za Jumuiya zinazoendelea mpaka sasa?Usikose!
May 21, 2011
Mark Okello
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni Mark Okello, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilokuwa la kiserikali la Youth Initiatives Tanzania (YITA),yeye pia ni kijana anayetajitambua na kuwajibika katika nafasi yake kikamilifu kuleta maendeleo endelevu katika jamii! Mark anajivunia sana kuwa Mwafrika!
May 21, 2011
Hajra Mungula
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni Hajra Mungula, Mwanaharakati wa vijana kutoka Tanzania Youth Coalition (TYC) na East Africa Youth Network, yeye ana dhamira ya kuwaongoza vijana wa Tanzania kuweza kuona fursa za wao kushiriki katika maamuzi ya kujenga na kuendeleza nchi yetu; pia kitaaluma ni mwanasheria kutoka kampuni ya Membar Law Attorneys.
May 21, 2011
Godfrey Oyyekeredo
Jumamosi hii 3-5pm katika Temino ya Cloud FM: Mgeni wetu Studio ni-Godfrey Oyyekoredo ,a Self motivated individual with a vision to serve youth and general community to agitate for their rights. He is a trainer, script writer, and facilitator, animator for community based theater groups and youth networks in Kenya. He believes that change is possible and that the best investment in life is investing in the people through entrepreneurship.
May 14, 2011
Janeth Mbene
Mgeni wetu studio Jumamosi hii- Janeth Mbene:
Mimi ni mwanamke wa Kitanzania aliye bahatika kupata fursa ya kusomeshwa kwa kiwango cha juu na Taifa kwa kupitia sera zake nzuri zinazotoa fursa ya elimu kwa watu wote bila ubaguzi.
Katika nafasi hiyo nimeweza kusomea shahada ya uzamili ya uchumi (Master’s degree in Economics) katika Biashara ya kimataifa, mikataba ya kimataifa ya Biashara, muungano wa kanda wa kiuchumi na Maswala ya Kifedha. Tafiti yangu ya shahada hii ilikuwa katika eneo la Umoja wa nchi za Afrika Mashariki kutathmini uwiano wa biashara kati ya Kenya Uganda na Tanzania kwa kutumia modeli ya kimahesabu.
Baada ya masomo yangu nimefanya kazi katika taasisi za kimataifa na umoja wa mataifa na NGOs za kimataifa zinazofanya shughuli zake Tanzania nzima haswa Vijijini na katika makundi ya wanawake na vijana. Shughuli nyingi zimehusu sera za kitaifa za kuondoa umaskini nakuboresha uendeshaji uchumi pamoja na kutetea haki za jamii za wakulima, wafugaji, wachimba madini wadogo, wavuvi na wafanyi biashara wadogo vijijini, mijini, mipakani kwa kuzingatia wanawake, vijana na walemavu.
Kazi yangu kubwa imekuwa kutoa mafunzo, kufanya utetezi wa sheria na sera pamoja na kuwawezesha kiuchumi katika miradi midogo, mikopo midogo na kuongeza thamani katika bidhaa. Maswala ya ufatiliaji na tathmini ya malengo ya milenia na kushinikiza serikali kuongeza bajeti kwenye maswala ya afya ya mtoto na mama, ajira, kupata ardhi, elimu kwa wasichana, mikopo na kusaidia wanawake wenye kuhudumia familia zilizoathirika na ukimwi nk.
Nimewahi Kufanya kazi kwenye mataifa ya kimataifa, Umoja wa Mataifa na kadhalika. Kutokana na haya yote, naona ni nafasi nzuri sana kwangu kutumia uwezo na uzoefu huu kwa manufaa ya wanawake wenzangu na taifa katika Bunge nikitetea maswala ya jamii haswa ya wanawake na vijana na kusimamia sheria na mikakati ya kuwainua wanawake na kuwapa fursa sawa katika kuwaletea maendeleo.
USHIRIKI WA NAFASI ZA UTAWALA TAASISI MBALIMBALI
Mwenyekiti wa NGO ya GOIG ‘Kuzeeka ni Kukua’ Wastaafu walianzisha NGO kusaidia vijana kupata mafunzo ya kutengeneza Vikoi, Mabusati na bidhaa za useketaji nk. Kwa kipato na kujikimu kimaisha.
Mlezi wa Yatima Group Trust NGO yenye kusimamia kituo cha watoto Yatima Chamazi Temeke.
Amekuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa Bodi wa Benki ya Kenya Tanzania kwa miaka sita hadi mwaka jana.
Mwanzilishi na Mjumbe wa NGO ya Wanataaluma wa Tanzania (TPN)
Mjumbe wa NGO ya Kimataifa SYNERGOS yenye makao yake New York Marekani inayoshughulika na maswala ya kimaendeleo, umaskini na haki za watu maskini duniani.
Makamu wa rais na Raisi mwandamizi wa Taasisi ya kimataifa ya maendeleo (Society for International Development (SID) tawi la Tanzania.
May 14, 2011
Robert Mng'anya
Mgeni wetu Studio Jumamosi hii: Robert Mng'anya.
My greatest purpose in life is to teachleadership skills to my generation. My ambition comes from the bible-Luke 12:48 to paraphrase those who much has been given much is demanded.
I am an avid reader and library boost the work of greatest
thinkers from Jim Rohn, John Maxwell, Anthony Robbins, Steve Covey,
Dale Carnegie , Nelson Mandela among others.I hold it to be true that people perish for lack of knowledge.
April 16, 2011
Macarious Shailla
Mgeni wetu studioni leo ni Macarious J. Shailla:He is a Motivational speaker in various seminars and conferences, but also he is a trainer, a mentor, and an enterpreneur .He is working under Maa p 4 Life- Tanzania, an Organisation working to empower people in planning and managing their plans in three major areas;- Family, Bussiness and on Intellectual level.
Macarious is also a founder of Tanzania Big Talk , an initiative that take a form of motivational conferences and held monthly to discuss and share ideas on major problems in our nation, this initiative is organised and conducted in different venues and concerns various topics. Macarious believes in personal development and uses most of his time and knowledge to help others.
April 9, 2011
Irene Kiwia
Katika Temino ya Clouds Fm wiki hii: Jiunge na Abella na Harris Studio jumamosi hii, tukiongelea mada ya Hofu: Kwanini watu huwa na hofu na je ni jinsi gani tunaweza kuishinda hofu katika maisha yetu:mgeni wetu wiki hii ni Irene Kiwia, mwanadada ambaye amefanya mengi ambayo ni makubwa na tofauti kabisa hapa nchini, je amewezaje kufanya yote hayo bila Hofu kabisa?Usikose kujiunga nasi studio!
Irene is a founder of Frontline Management Ltd a PR com-pany that deals with Public Relations, Event Management and Corporate Communication. The company was founded in 2006 and is now partners with the global PR leader Porter Novelli with presence over 85 countries.She has had a 7 years experience working with the Media, presented and produced her own talk show on East Africa Television for over 5 years, worked as a radio host and producer for 2 years and as a PR consultant for two of the biggest agencies in the country (Tanzania Corporate Services and Benchmark Productions) before establishing her own firm.
Just recently, Irene and her company launched another project titled Tanzania Women of Achievement Awards with ob-jectives to empower the many Tanzanian women who have been making significant changes in their communities through their work. In 2010 Irene was nominated by the US State department to participate in the Fortune/US State Department Global Women Mentoring Program where she was mentored by women from Fortune 500 companies which are America's big-gest companies.She recently received a coin of Excellency from the US Ambassador to Tanzania Alfonso Lenhardt in recognition of her achievements.
Irene who is also a mother of 2 children, has received numerous recognition in the local and East African media as an in-spiration and role model to young women in Tanzania and East Africa and Africa in general.
Machi 26, 2011
Dk. Charles Sije Sokile
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella; tukizungumzia masuala ya Jinsi gani ya kuchagua Fani/ Taaluma utakayoifurahia na yenye kuleta mafanikio kwako- yaani ‘choosing a successful and enjoyable Career path’ .Tutakuwa na Mtaalamu wetu Dr. Charles Sije Sokile; yeye ni mkurugenzi wa kampuni ya Knowledge Initiatives Company Limited (KICL).
Dr.Sokile ana shahada ya udaktari katika Management. Pia amefanya kazi mbalimbali na Serikali, mashirika tofauti ya Kikanda na Kimataifa pia-United Nations- UN. Yeye ana umahiri katika maeneo ya mipango ya kimkakati, rasilimali, kupunguza umaskini, masuala ya sera na usimamizi ya utafiti na mafunzo ya huduma.
Dr.Sokile ameongoza miradi mbalimbali katika vyuo vikuu tofauti, UNESCO, Chuo Kikuu cha EAC Inter Baraza, World Vision n.k.; pia ametoa machapisho tofauti katika maeneo ya usimamizi wa utafiti na Usimamiaji wa rasilimali. Dr.Sokile pia ni sura katika vitabu vya kitaaluma- na sisi wanatemino tunajivunia kitabu chake cha ‘Successful Career Development’.
Machi 18, 2011
Marwa Stephen Shirati
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella;pamoja na wataalamu wetu tukitoa- Mwongozo wa kuchagua Fani/ Taaluma utakayoifurahia na yenye kuleta mafanikio kwako- yaani ‘A guidance for choosing a successful&enjoyable Career path’ .
Tutakuwa na Mtaalamu wetu Marwa Stephen Shirati- Mkufunzi na mtaalamu wa masuala ya taaluma.Yeye ni mtanzania ambaye amejitolea muda wake mwingi kufanya kazi na vijana wa Kitanzania na kuwasaidia katika kujitengenezea uthamani katika maisha yao na kuwafanya kuwa wazalishaji na wenye kuleta mabadiliko chanya kwa jamii.
Yeye anatambua fika kwamba suala zima la kujitolea kwa ajili ya maendeleo ya jamii yake sio jambo rahisi, lakini amedhamiria kutumia uwezo wake wote - kuwapatia wengi mwangaza wa kuweza kujijenga na kijitegemea na kufanyika faida kwa jamii yao.Shirati ni mjasiriamali kwa miaka 12 sasa na hutoa elimu kwenye miradi mbalimbali kuanzia mashuleni, mavyuoni na maofisini; na pia ni mtoa ushauri katika masuala ya kijamii na ujasiriamali .
Ukitaka kujua mengi juu ya Mwongozo wa kuchagua na kuboresha taaluma yako, usikose kujiunga nasi, pamoja sana!
Machi 11,2011
Edmond Lyatuu
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm: Jiunge na Harris na Abella; tukiwa na Mtaalamu wetu Edmond Lyatuu- mwanzilishi na Mkurugenzi wa Kampuni ya MATABE- Making Tanzania Better.
Jumamosi hii tunaangalia suala zima la Kijitambua.Je, umewahi kujiuliza maswali haya: Wewe ni nani?Nini kitambulisho chako? Nini hukupatia motisha kwenye maisha kufanya yale unayoyafanya kila siku?Je, unaifahamu haiba/ personality yako na inakusaidia vipi kwenye shughuli zako za kila siku?Unadhani watu wanakuona wewe ni mtu wa namna gani na una mchango/msaada gani kwao?
Kuweza kujua haya na mengine mengi katika safari yetu nzima ya kuelekea kwenye kufahamu jinsi gani ya kukuza na kuendeleza taaluma/fani yako- Career Choice, jiunge nasi.Temino-Mpango mzima!
Machi 26, 2011
Lucylight Mallya
Katika Temino ya Clouds FM Jumamosi hii 3-5pm:Pia tutakuwa na Nyota yetu Lucylight Mallya; Mwanafunzi bora katika matokeo ya kidato cha nne kitaifa.Aliwezaje kufaulu vizuri hivyo,Je, ana ndoto gani katika maisha,na je ana kipaji kingine chochote? Lucylight pia ana mengi ya kuwashauri Wazazi, walezi,walimu na Vijana wenzake. Sisi wana Temino tunajivunia sana Lucylight Mallya, Yeye ni Fahari ya Tanzania. Usikose!
Machi 5 & 12, 2011
Edmond na Dorothy Lyatuu
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii :Wageni wetu ni Edmond na Dorothy Lyatuu. Wao wamekuwa marafki wakubwa kwa takribani miaka 27, na katika hayo wamekuwa wanandoa kwa miaka 23. Uhusuaino wao umewazawadia watoto watatu ambao, kwa maneno yao wenyewe wanasema kuwa, ‘wanakamilisha familia yetu’.
Hadithi yao kama wazazi ni hadithi ya kujifunza wakati wote, mara nyingi wamekuwa wakiacha yale yasiyo na tija na kushikilia yale wanayoona yana faida kwa familia yao. Lakini pia wanakiri wazi kuwa, kuna maeneo ambayo wameshindwa vibaya sana na wamejifunza mengi kutokana na hayo, lakini kwa sehemu kubwa wanakiri kupata mafanikio makubwa katika malezi na makuzi ya watoto wao, kwani kwao kila mtoto amekuja na changamoto yake, na kila mtoto anakuwa kwa namna ya tofauti na mwingine.
Kwa ujumla, uzazi na malezi ya watoto wao umewasaidia sana wao binafsi katika kukua kimaisha, kupanuka kifkira na kuzidi kupata hekima zaidi siku hadi siku. Wanawezaje kufanya yote haya, ni mbinu gani wanatumia, usikose kujiunga nasi jumamosi hii.
Februari 26, 2011
Wilbroad Propsper
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Willbroad Prosper, mkuu wa shule (principal) ya capstone christian school,yeye hufanya huduma za kijamii akishirikiana na mchahakato unaofahamika kama Family Outreach Tanzania (FOTA). Pia hufundisha semina za malezi (parenting seminars), semina za vijana, semina za ndoa na premarital counselling kwa vijana ambao wako tayari kuoana.
Willbroad pia amekuwa akishirishwa katika vipindi mbalimbali vya redio na TV kupeleka ujumbe wake. Yeye pia ni mkurugenzi wa Tanzania Christian Talents- (TCT).Jiunge nasi pamoja na mgeni wetu akitueleza jinsi ya kuwalea mashujaa wa kitanzania.Usikose!
Februari 19, 2011
Jane Mutua
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Jane Mutua, yeye ni mke anayejivunia familia yake na pia ni mama wa watoto wawili .Yeye hutoa huduma ya ushauri kwa familia.
Jane anaamini kama wazazi tukiamua kuwalea na kuwakuza watoto wetu katika msingi imara , taifa letu la kesho litakuwa ni Taifa lililosheheni wananchi na viongozi wenye kanuni na tabia zinazokubalika na pia mwongozo wa nchi utabadilika kabisa, kutoka katika hali ya kutokuona mwelekeo kuwa Taifa lenye dira thabiti itakayosababisha kukua na kubadilika kwa nchi yetu zaidi.Usikose!
Februari 12, 2011
Chris Mauki
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Chris Mauki, yeye ni Mhadhiri wa idara ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi mbalimbali vya Radio na TV.Makala zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti ya Global Publishers siku ya Jumanne. Chris pia ni Mtafsiri wa Lugha.
Wiki hii tunajiunga na Chris kuongelea suala zima la malezi na Makuzi ya Mtoto/Shujaa wa kitanzania. Msingi wake uko vipi? Je, anapewa fursa ya kukua ili aweze kujiamini na kujitambua yeye ndio mmiliki halisi wa nchi hii na mleta mabadiliko mtarajiwa.Na je kama kuna sehemu wazazi walikosea wafanye nini basi kurekebisha mahusiano baina yao na mtoto wao ili tuweze kuwa na familia zenye mshikamano zaidi? USIKOSE jumamosi hii tunapoanza safari ya Malezi na Makuzi ya mtoto wa Kitanzania.Pamoja sana wakuu.
Februari 5, 2011
Gina Mulungu
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Gina Mulungu, yeye ni Mwalimu na mlezi wa watoto, ana utaalamu wa zaidi ya miaka mitano(5) katika kazi yake ya kila siku katika kuwashauri wazazi jinsi ya kuwaelekeza na kuwakuza watoto. Pia hufanya ushauri na ufuatiliaji wa karibu kwa watoto ambao huhitaji msaada wa zaidi katika masomo na hata tabia.Usikose jumamosi hii upate sikia kutoka kwake jinsi ya kuelewa hatua mbalimbali za malezi na makuzi ya watoto. Temino-tujipange kwa safari!
Januari 29, 2011
Martin Kaswahili
Katika Temino Radio show 3-5pm Clouds FM Jumamosi hii: Mgeni wetu ni Martin Kaswahili, yeye ni mwanasiasa,mjasiriamali, mwandishi wa vitabu na Mzalendo halisi aliyeishi Ughaibuni kwa muda mrefu na baada ya kugundua siri na raslimali zilizopo Tanzania akarudi nyumbani kulitumikia Taifa.Yeye anatueleza namna ya kujivunia utaifa wetu haswa katika kipindi hiki cha maandalizi ya kusherekea Miaka 50 ya Uhuru wetu.Pamoja sana!
Januari 22, 2011
James Mwang'amba
Mgeni wetu Studio Jumamosi hii 3-5pm Temino Radio Show- Clouds FM 88.4 FM: James Mwang’amba, Mkurugenzi wa MWANG'AMBA COMMUNICATION ambaye amekua akitoa ushauri na mafunzo kwa wajasiriamali wadogo na wafanyabiashara wakubwa. Mbali na hapo ni mkufunzi wa mafunzo ya kujiendeleza kibinafisi- ‘Personal Development’ na Pia amekua akitoa mada katika vipindi mbali mbali vya Radio.
Kama kuna jambo analofahamika nalo sana ni utaalamu wake katika masuala ya Kufanya Malengo- ‘Goal Setting’ na wiki hii basi studioni tunamleta kwenu kama zawadi kutoka kwetu ya Mwaka mpya 2011 , akituelekeza tunajipangaje tunavyoanza mwaka, je tunatoboza vipi? Usikose!
Januari 15, 2011
Joe Bishota
Our guest this Saturday at Temino Radio Show 3-5pm, 88.4 Clouds FM: Trained as a Banker, Joe, as he is popularly known has established a career in Financial Securities Consultant. For quite sometimes now, Joe Bishota, has become one of the most demanded Financial Consultant and Speaker. He has been consulting people and organizations on matters related to financial planning and management. As we start, year 2011, Temino Radio Show brings Joe as a gift to you: He will share with us some proven methods and practical tools on "Creating and Managing a Personal Budget".
Januari 8, 2011
Emelda Mwamanga Mtunga
Temino Jumamosi hii inazungumza na Emelda Mwamanga Mtunga, mwanzilishi na Mkurugenzi mtendaji wa RELIM Entertainment Ltd, kampuni inayochapisha gazeti la kimtindo la Bang! pia Bang Star! . Emelda anaendelea kuonyesha njia kwetu sote kwa juhudi zake na kutupatia motisha ya kutosha ili na sisi tuweze kuamini ndoto zetu pi...a zinaweza kuwa halisi kama tukifanya juhudi. Alianza vipi, anafanya nini sasa na mpango gani, usikose kusikiliza yote haya katika Temino ya Clouds FM 88.4
Januari 1, 2011
Peter Msechu
Temino Jumamosi hii inazungumza na Mshindi wa pili wa TUSKER PROJECT FAME 2010, Peter Msechu. Baada ya kushika nafasi ya pili katika shindano hili la vipaji vya kuimba lililofanyika Jijini Nairobi, Kenya. Ana lipi la kutuambia watanzania?Ndoto yake iianza vipi na tunajifunza nini kutoka kwake? Na je, ana malengo yapi na mikakati gani kuzidi kupeperusha bendera ya nchi yetu kimataifa. Pia sikiliza Album mpya ya Peter iitwayo ‘Majaribu’ ndani ya Temino. Pamoja sana!
Desemba 24, 2010
Bupe Christopher
Temino this Saturday speaks to Bupe Christoper, An artist from Kenya who is a testimony of what can be achieved if one believes and holds on to their dream. He has no doubt that God has only just started using him to mightily influence this generation through Music and Media with the message that he calls ‘cleaning up the airwaves’. When you meet Bupe, a man who passionately believes in his significance in God's plan you might think all has ever been great to him - Yet it was not always so. Witnessing his family break apart early in life, and his dreams go up in smoke was enough to keep Bupe far from the idea that God cared. A wounded self esteem and search for attention marked most of his early life. But at the age of sixteen, things turned around as he realized a greater power within Him.
Desemba 2010
Alex Msama, Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion, pia ni muanzilishi na mmiliki wa gazeti la Dira ya mtanzania: mtoto wa mkulima aliyeanza maisha yake mjini Dar es Salaam kama mtoto wa mtaani lakini sasa anatoa ajira kwa vijana wengi sana nchini kupitia kampuni yake pia anasaidia kutambua na kukuza vipaji vya wanamuziki, aliweza vipi?Sikiliza Temino upate kujua zaidi.
Modesta Lilian Mahiga, mwanzilishi na Mkurugenzi wa Professional Approach Group. Ana mtizamo wa kuipeleka Tanzania na watu wake katika mafanikio ya kiuchumi na pia kupanua ufahamu na fikra za Watanzania, anaamini kama tukijipanga Tanzania ni bora zaidi ya tuionavyo sasa.http://www.professionalapproach.co.tz/
Desemba 25, 2010
Januari 1 & 8, 2011
Mwijage
Joe Bishota - Trained as a Banker, Joe, as he is popularly known has
established a career in Financial Securities Consultant. For quite
sometimes now, Joe Bishota, has become one of the most demanded
Financial Consultant and Speaker. He has been consulting people and
organizations on matters related to financial planning and management.
As we start, year 2011, Temino Radio Show brings Joe as a gift to you:
He will share with us some proven methods and practical tools on
"Creating and Managing a Personal Budget".
Januari 15, 2011
Martin Kaswahili, yeye ni mwanasiasa, mjasiriamali, mwandishi wa vitabu na Mzalendo halisi aliyeishi Ughaibuni kwa muda mrefu na baada ya kugundua siri na raslimali zilizopo Tanzania akarudi nyumbani kulitumikia Taifa. Yeye anatueleza namna ya kujivunia utaifa wetu haswa katika kipindi hiki cha maandalizi ya kusherekea Miaka 50 ya Uhuru wetu.
Januari 22, 2011
Chris Mauki,
yeye ni Mhadhiri wa idara ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam. Kwa muda mrefu sasa amekuwa akitoa ushauri wa Kisaikolojia
(Counseling) kwa watu mbalimbali. Pia amekuwa akitoa mada katika vipindi
mbalimbali vya Radio na TV.Makala
zake za Saikolojia na Maisha huchapishwa katika magazeti ya Global
Publishers siku ya Jumanne. Chris pia ni Mtafsiri wa Lugha.
Wiki hii tunajiunga na Chris kuongelea suala zima la malezi na Makuzi ya
Mtoto/Shujaa wa kitanzania. Msingi wake uko vipi? Je, anapewa fursa ya
kukua ili aweze kujiamini na kujitambua yeye ndio mmiliki halisi wa nchi
hii na mleta mabadiliko mtarajiwa.Na je kama kuna sehemu wazazi
walikosea wafanye nini basi kurekebisha mahusiano baina yao na mtoto wao
ili tuweze kuwa na familia zenye mshikamano zaidi?
Januari 29, 2011
Jane Mutua, yeye ni mke anayejivunia familia yake na pia ni mama wa watoto wawili. Yeye hutoa huduma ya ushauri kwa familia.
Jane anaamini kama wazazi tukiamua kuwalea na kuwakuza watoto wetu katika msingi imara , taifa letu la kesho litakuwa ni Taifalililosheheni
wananchi na viongozi wenye kanuni na tabia zinazokubalika na pia
mwongozo wa nchi utabadilika kabisa, kutoka katika hali ya kutokuona
mwelekeo kuwa Taifa lenye dira thabiti itakayosababisha kukua na
kubadilika kwa nchi yetu zaidi.
Willbroad Prosper, Mkuu wa Shule (Principal) ya Capstone Christian School. Yeye
hufanya huduma za kijamii akishirikiana na mchahakato unaofahamika kama
Family Outreach Tanzania (FOTA). Pia hufundisha semina za malezi
(parenting seminars), semina za vijana, semina za ndoa na premarital counselling kwa vijana ambao wako tayari kuoana.
Willbroad pia amekuwa akishirishwa katika vipindi mbalimbali vya redio
na TV kupeleka ujumbe wake. Yeye pia ni mkurugenzi wa Tanzania Christian
Talents (TCT). Jiunge nasi pamoja na mgeni wetu akitueleza jinsi ya
kuwalea mashujaa wa kitanzania.
Maelezo Zaidi
Elimu ya shule ya msingi:
Upimaji wa kwanza wa Uwezo nchini
Tanzania ulifanyika Mei 2010, baada ya maandalizi makubwa na upimaji wa
majaribio. Ulihusisha wilaya 38 kati ya wilaya 133 za Tanzania.
Na
watoto wote wenye umri kati ya miaka 6-16 katika kaya 20 walipimwa. Kwa
ujumla, watoto 42,033 katika kaya 22,800 walipimwa uwezo wao katika
stadi za msingi. Matokeo 6 muhimu ya upimaji huo ni:
· Mhitimu 1 kati ya wahitimu 5 hawezi kusoma Kiswahili cha ngazi ya darasa la 3.
· Nusu ya wanafunzi hawawezi kusoma Kiingereza cha ngazi ya darasa la 3.
· Wahitimu 7 tu kati ya 10 wanaweza kufanya hesabu za ngazi ya darasa la 3.
· Watoto wa mijini hufanya vizuri zaidi kuliko wa vijijini.
· Wasichana hufanya vizuri kuliko wavulana.
· Watoto wenye mama waliosoma hufanya vizuri zaidi.
Matokeo ya Kidato cha nne- form four 2010
Matokeo
ya Kidato cha nne: watahiniwa wa shule waliosajiliwa ni 363,589, lakini
waliofanya mitihani ni 352,840, waliofaulu wakiwa ni 177,021 sawa na
asilimia 50.4
Jumla ya wanafunzi waliopata daraja 0 ni 174,193 ambao ni karibu nusu ya wanafunzi wote waliofanya mitihani hiyo.
Katika kundi la waliofaulu, wasichana ni 69,996 sawa na asilimia 43.3 na wavulana ni 107,025 sawa na asilimia 56.
Watahiniwa 311 wamefutiwa matokeo yao baada ya kubainika kuwa walifanya udanganyifu wa aina mbalimbali.
Matokeo
ya mtihani huo uliofanyika mwaka Oktoba mwaka jana pia yanaonyesha kuwa
watahiniwa wanne wamefutiwa matokeo kwa kuandika matusi mazito kwenye
karatasi za kujaza majibu. Mwaka jana kulikuwa na mwanafunzi mmoja
aliyeandika matusi kwenye karatasi ya majibu mwaka huu idadi imeongezeka
na kuwa wane, wanafunzi wameonywa kuancha kuandika matusi kwenye
mitihani.
Chanzo cha habari: Tanzania Daima na Mwananchi.
































