Jumapili, 10 Novemba 2013

KWANINI MAOMBI HAYAJIBIWI, BWANA AMESEMA TUMUOMBE.

Unknown | 05:04 | Be the first to comment!
                              
                             Mathayo7;7-8
           .                            Yeremia 33;3  
                                   Efeso 33;3.
Lakini kanini baadhi ya maombi yetu hayajibiwi.
                       SABABU.
            1.KUKOSA IMANI.
                  Mathayo 21;21-22.

          MKiomba lolote kwa imani bila kutia shaka mtapokea.

             2.KUKOSA SHUKRANI.
              Wafilipi 4;6

     Usipo mshukuru mungu ,hawezi kuvutwa kukupa tena kitu kingine.

               3.KUTOAMBATANA NA BWANA
             To be at one with GOD.
               Yohana 15;7.
                Zaburi 34;15

               4.KUOMBA NJE YA MAPENZI YA MUNGU AU KUOMBA VIBAYA.

                     Yakobo 4;3
                      Yohana5;14
                        Mathayo26;39-42
                    5.MAISHA YA DHAMBI.
                         Zaburi66;18
                              Isaya59;1-2

                   Jitenge na hayo,ambatana nabwana naye atayajibu ma

          
read more...

ASKOFU SPEAR MWAIPOPO AKIOMBEA WAAMINI KANISANI TAG PICHA YA NDEGE KIBAHA

Unknown | 04:50 | Be the first to comment!

         IMANI NDIYO MKONO WAKUPOKELEA MUUJIZA WAKO


read more...

HII NI ARUSI WALIOFUNGIWA TAG PICHA YA NDEGE KWA ASKOFU SPEAR MWAIPOPO)

Unknown | 04:31 | Be the first to comment!

read more...

Alhamisi, 7 Novemba 2013

JINSI GANI TUNAWEZA KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

Unknown | 08:06 | Be the first to comment!

MWINJILISTI MWAKILIMA ATAHUBIRI


Injili ya Yohana ina idadi kubwa tu ya ahadi za Yesu kuhusu nafasi ya Roho Mtakatifu katika maisha ya waaminio. Hebu tusome baadhi yake.


Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele. Ndiye Roho wa kweli, ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui. Bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. - (Yohana 14:16, 17).


Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia (Yohana 14:26).

Lakini mimi nawaambia iliyo kweli – yawafaa ninyi mimi niondoke. Kwa maana, mimi nisipo-ondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. … Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote. Kwa maana, hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.

Na yote aliyo nayo Baba ni yangu, kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasheni habari (Yohana 16:7; 12 – 15)
read more...

NINI MAANA YA WOKOVU

Unknown | 07:54 | Be the first to comment!

ASKOFU  SPEAR MWAIPOPO

“Kwasababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako yakuwa Mungu alimfufua katika wafu, UTAOKOKA. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa mtu hukiri hataKUPATA WOKOVU”. (Rum 10:9-10.)


Baada ya kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako, ni muhimu sana kupata mafundisho ya awali, yatakayokusaidia kujua kwa hakika, maana ya KUOKOKA au WOKOVU;


“ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.” (Efe 4:14)

Ndio maana Yesu alisema, tukishawahubiri na kuwasaidia kuokoka,tuwafundishe yote!“Yesu akaja kwao akasema nao, akawaambia, nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na mkiwafundisha kuyashika yale yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote hadi ukamilifu wa dahari”. (Math 28:18-20).
“Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; wenye shina na wenye kujengwa katika yeye;mmefanywa imara katika imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani”. (Kol 2:6-7)


“Wakawa wakidumu katika fundisho la Mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali” (Mdo 2:42)
“Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu, lakini kwa upole na kwa hofu” (1Pet 3:15)
read more...

Jumatano, 6 Novemba 2013

BLOG INATOA POLE KWA MUIMBAJI WA MUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI BAHATI BUKUKU KWA KUFIWA NA BABA MZAZI.

Unknown | 22:01 | Be the first to comment!

Kwa niaba ya wadau wa blog hii pamoja na watendani wote tunatoa pole kwa muimbaji  wa muziki wa Injili Bahati Bukuku kwa kufiwa na baba yake Mzee Lwagha Amen Bukuku baada ya kuugua kwa muda mrefu.
read more...

TUKIWA TUNAELEKEA KWENYE EVENT YA CHRISTINA SHUSHO TIZAMA PICHA SABA ZA MAZOEZI YAKE.

Unknown | 22:00 | Be the first to comment!

Christina Shusho na cheko la picha!!
Sam Yonah Music and Vocal Director
Tukiwa tunaelekea kwenye event ya Mama Christina Shusho na kati ya Tabata leo nimepata bahati ya kutembelea mazoezi yake yanayo fanyika Ubungo gereji kwa mch John Said ambapo
read more...
 
Copyright © 2015 HEZRON MWANAFUNZI WA YESU • All Rights Reserved.
Blogger Templates Design by BTDesigner • Powered by Blogger