MAOMBI
Je una hitaji lolote ungependa kushirikisha watu/mtu kwa ajili ya kumuomba Mungu? yaweza liwe lako binafsi, nchi, watumishi wa Mungu na mengineyo. hezzodaking.blogsport.com Tuna Team ya Maombi ambapo tunaombea maombi haya. Pia Yeyote popote Ulipo unaweza kuguswa kumuombea mtu mahala hapa na akapokea Uponyaji kwa Jina la Yesu Kristo.
Ukipokea Uponyaji, Tutafurahi kupata ushuhuda wako. Karibuni
Kujiunga na Team ya maombi wasiliana nasi kwa
Email: hezzodaking6@gmail.com or call on

0 maoni:
Chapisha Maoni